Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa tatu kulia) akifungua pazia kuweka jiwe la msingi Nyumba za Gharama Nafuu za Mji wa Dkt.Hussein Mwinyi Tomondo Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magaribi akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyofanyika leo katika mkoa huo katika shamra shamra za kutimia miaka mitatu ya uongozi wake (kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dkt Saada Mkuya Salum. [Picha na Ikulu] 24/10/2023.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwapungia mkono Wananchi wakati alipowasili katika hafla ya uwekaji wa Jiwe la msingi Nyumba za Gharama Nafuu za Mji wa Dkt.Hussein Mwinyi Tomondo Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magaribi akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyofanyika leo katika mkoa huo katika shamra shamra za kutimia miaka mitatu ya uongozi wake. [Picha na Ikulu] 24/10/2023.

Baadhi ya Viongozi wa Taasisi mbali mbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipokuwa akitoa hutuba yake katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi Nyumba za Gharama Nafuu za Mji wa Dkt.Hussein Mwinyi Tomondo Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magaribi katika ziara yake iliyofanyika leo katika mkoa huo katika shamra shamra za kutimia miaka mitatu ya uongozi wake. [Picha na Ikulu] 24/10/2023.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akipokea Ripoti ya Mkoa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa, leo katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi Nyumba za Gharama Nafuu za Mji wa Dkt.Hussein Mwinyi Tomondo Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magaribi akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyofanyika katika mkoa huo katika shamra shamra za kutimia miaka mitatu ya uongozi wake (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa. [Picha na Ikulu] 24/10/2023.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Simba Development ya Dar es Salaam wakionesha picha za kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi Nyumba za Gharama Nafuu za Mji wa Dkt.Hussein Mwinyi Tomondo Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magaribi alipofanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyofanyika katika mkoa huo katika shamra shamra za kutimia miaka mitatu ya uongozi wake . [Picha na Ikulu] 24/10/2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...