
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema kabla ya kuzungumza na Waandishi wa Habari katika Ikulu ya Lusaka nchini Zambia tarehe 25 Oktoba, 2025


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu ziara yake ya Kitaifa Lusaka nchini Zambia mara baada ya mazungumzo yake na Rais wa nchi hiyo Mhe. Hakainde Hichilema tarehe 25 Oktoba, 2025

Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan nchini humo tarehe 25 Oktoba, 2025
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...