Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde mara baada ya kuzindua Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo pamoja na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika nje ya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde kuhusu Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo pamoja na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mfano wa Ufunguo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dkt. Venance Mwasse kwa ajili ya kuwakabidhi Wachimbaji wadogo Mitambo ya Uchorongaji kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde kuhusu Mitambo ya kupasua na kusaga mawe crasher kwa ajili ya Wachimbaji wadogo kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mfano wa Ufunguo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dkt. Venance Mwasse kwa ajili ya kuwakabidhi Wachimbaji wadogo Mitambo ya kupasua na kusagia mawe crasher kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia Mkaa mbadala kwenye banda la Maonesho la Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wakati akipita kukagua shughuli mbalimbali za wachimbaji wadogo wa Madini kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda mbalimbali ya wachimbaji wadogo wa Madini kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia vitu vya thamani kutoka kwenye banda mojawapo la wachimbaji wadogo Wanawake (WIMO) kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Shamrashamra katika uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Msanii Mrisho Mpoto akitumbuiza kwenye hafla ya uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...