Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati), amekabidhiwa rasmi Ofisi kutoka kwa Rais aliyemaliza muda wake Mhe. Duarte Pacheco (kulia). Makabidhiano hayo yamefanyika leo tarehe 28 Oktoba, 2023 Jijini Luanda nchini Angola yakishuhudiwa na Katibu Mkuu wa Umoja huo Ndg. Martin Chugong (kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...