Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku ya Uhuru wa taifa la Uganda iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Vodacom ilisherehekea kwa pamoja na raia wa Uganda wanaoishi nchini kwa kuwasogezea huduma za M-Pesa ambazo kampuni hiyo inazitoa kimataifa ikiwamo kutuma na kupokea pesa (IMT), laini ya simu ya kielektroniki (e-Sim) pamoja na vifurushi vya kimataifa.



BALOZI wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Fred Mwesigye (kushoto) akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki (anayeshughulikia Masuala ya Afrika Mashariki), Balozi Stephen Mbundi (katikati) na Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare (kulia) wakikata keki wakati wa hafla fupi ya kushrehekea siku ya Uhuru wa taifa la Uganda iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Vodacom ilisherehekea kwa pamoja na raia wa nchi hiyo wanaoshi nchini kwa kuwasogezea huduma za M-Pesa ambazo kampuni hiyo inazitoa kimataifa ikiwamo kutuma na kupokea pesa (IMT), laini ya simu ya kielektroniki (e-Sim) pamoja na vifurushi vya kimataifa.




Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku ya Uhuru wa taifa la Uganda iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Vodacom ilisherehekea kwa pamoja na raia wa Uganda wanaoishi nchini kwa kuwasogezea huduma za M-Pesa ambazo kampuni hiyo inazitoa kimataifa ikiwamo kutuma na kupokea pesa (IMT), laini ya simu ya kielektroniki (e-Sim) pamoja na vifurushi vya kimataifa.

 Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakimwelezea mteja kuhusu huduma za M-Pesa zinazopatikana kimataifa wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku ya Uhuru wa taifa la Uganda iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Vodacom ilisherehekea kwa pamoja na raia wa Uganda wanaoishi nchini kwa kuwasogezea huduma za M-Pesa ambazo kampuni hiyo inazitoa kimataifa ikiwamo kutuma na kupokea pesa (IMT), laini ya simu ya kielektroniki (e-Sim) pamoja na vifurushi vya kimataifa.

Waziri wa Afya Zanzibar, Mh. Nassor Ahmed Mazrui (katikati) akiwa picha ya pamoja na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Fred Mwesigye (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku ya Uhuru wa taifa la Uganda iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Vodacom ilisherehekea kwa pamoja na raia wa Uganda wanaoishi nchini kwa kuwasogezea huduma za M-Pesa ambazo kampuni hiyo inazitoa kimataifa ikiwamo kutuma na kupokea pesa (IMT), laini ya simu ya kielektroniki (e-Sim) pamoja na vifurushi vya kimataifa.










BALOZI wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Fred Mwesigye akipokea zawadi kutoka kwa mwakilishi wa Vodacom Tanzania wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku ya Uhuru wa taifa la Uganda iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Vodacom ilisherehekea kwa pamoja na raia wa Uganda wanaoishi nchini kwa kuwasogezea huduma za M-Pesa ambazo kampuni hiyo inazitoa kimataifa ikiwamo kutuma na kupokea pesa (IMT), laini ya simu ya kielektroniki (e-Sim) pamoja na vifurushi vya kimataifa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...