
Mshindi wa promosheni ya Maokoto ndani ya kizibo mkazi wa Lamadi Peter Galos, akipokea mfano wa hundi ya Sh laki tano kutoka kwa Mkuzaji Masoko wa Serengeti Breweries mkoa wa Mara Feka Edward, kwenye hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika Pub ya New Diamond mjini Bunda mkoani Mara.
.png)
.png)
.png)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...