Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Abdurahman Kinana akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa India Nchini Tanzania Mhe. Binaya Srikanta Pradhan leo Alhamis, Novemba 02 , 2023, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es salaaam. (Picha na Fahadi Siraji)

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na Balozi wa India Nchini Tanzania Mhe. Binaya Srikanta Pradhan leo Alhamis, Novemba 02 , 2023, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es salaaam. (Picha na Fahadi Siraji)

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Abdurahman Kinana akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa India Nchini Tanzania Mhe. Binaya Srikanta Pradhan leo Alhamis, Novemba 02 , 2023, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es salaaam. (Picha na Fahadi Siraji)

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania Mhe. Ricardo Mrumbuida leo Alhamis, Novemba 02 , 2023, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es salaaam.(Picha na Fahadi Siraji)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...