Nyumbani ni nyumbani. Furaha na Tabasamu iliyoje baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusalimiana na Waziri wa Utamaduni kutoka Berlin Ujerumani Mhe. Joe Chialo ambaye ana asili ya Tanzania wakati alipokuwa akimsindikiza mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba 2023. Rais huyo wa Ujerumani ameambatana na Waziri huyo katika Ziara yake ya Kikazi nchini Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...