


Nyumbani ni nyumbani. Furaha na Tabasamu iliyoje baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusalimiana na Waziri wa Utamaduni kutoka Berlin Ujerumani Mhe. Joe Chialo ambaye ana asili ya Tanzania wakati alipokuwa akimsindikiza mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba 2023. Rais huyo wa Ujerumani ameambatana na Waziri huyo katika Ziara yake ya Kikazi nchini Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...