Kutoka kushoto Afisa Maendeleo ya Biashara wa Vodacom Tanzania, Kelvin Donald akiwa na Afisa Masoko, Nancy Emmanuel pamoja na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Pendo Mfuru na Afisa Masoko, Fredrick Mwamyalla upande wa kulia wakiwa katika droo ya kwanza kampeni ya msimu wa sikukuu ijulikanayo kama ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’ iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kupitia droo hiyo jumla ya washindi 26 walipataka kwa kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo bodaboda, luninga, simu za mkononi, router za 4G na 5G ambapo mteja mmoja mwenye bahati alijishindia pesa taslimu kiasi cha shilingi milioni 10!

 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...