
Kamati ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini Tanzania (RUJAT) katika kikao chake kilichofanyika mjini Morogoro, Novemba 22, 2023, kwa mamlaka kiliyopewa na Mkutano Mkuu wa RUJAT, pamoja na mambo mengine kimejadili maombi 77 ya uanachama na kupitisha waombaji 72 kuwa wanachama wapya.
Hatua hii imeongeza idadi ya wanachama kufikia 109.
RUJAT inawakaribisha tuungane katika kujenga tasnia ya habari inayojali maslahi ya jamii vijijini.
Majina ya wanachama wapya ni haya yafuatayo:



BOFYA <<HAPA>> KUJIUNGA RUJAT

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT

Katibu wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Prosper Kwigize akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT

Katibu wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Prosper Kwigize akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT

BOFYA <<HAPA>> KUJIUNGA RUJAT
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...