Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameshiriki kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojadili masuala ya Mabadiliko ya Tabianchi na Usalama wa Chakula Ngurdoto mkoani Arusha leo Novemba 23, 2023. Wengine kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kariuki na Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo wa Zanzibar Mhe. Shamata Shaame Khamis.
Awali mkutano huo ulitanguliwa na mkutano wa Majadiliano ya Juu kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Usalama wa Chakula na Uendelevu wa Mazingira ngazi ya Mawaziri.
Home
HABARI
WAZIRI JAFO ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI EAC UNAOJADILI MASUALA YA MABADILIKO YA TABIANCHI NA USALAMA WA CHAKULA JIJINI ARUSHA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...