KLABU ya Manchester City inaonekana kuchechemea kunako ligi kuu ya Uingereza baada ya kutopata matokeo ya ushindi katika michezo mitatu mfululizo ya ligi hiyo ikiwa ni muda mrefu sana jali hiyo haijaikumba klabu hiyo.

Manchester City wamesuluhu michezo miwili mfululizo huku wakipoteza katika mchezo wa jana wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu ya Aston Villa, Huku klabu ya Arsenal wao wakijichimbia kileleni kwa tofauti ya alama sita mpaka sasa.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Sababu nyingi zinaelezwa kua sababu ya klabu ya Manchester City kufanya vibaya mpaka sasa, Huku mojawapo ikiwa ni majeraha ambayo yamekua yakiiandama klabu hiyo haswa kwa wachezaji wake muhimu kama Kevin de Bruyne, John Stones, pamoja na kiungo Rodri.

Manchester City mbali na majeraha ambayo yamekua yakiisumbua klabu hiyo lakini sababu nyingine ambayo inawafanya kupata shida msimu huu ni wachezaji walioondoka klabuni hapo dirisha lililopita na kutopatiwa mibadala sahihi mpaka sasa.

Manchester City wanapitia kipindi kigumu kwenye michuano ya ligi kuu ya Uingereza lakini haitazuia kuacha kujipigia mikwanja, Kwani mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet wanaendelea kumwaga ODDS KUBWA katika michezo mbalimbali barani ulaya.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee

ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...