Mtayarishaji mahiri wa muziki kutoka nchini Nigeria Masterkraft ameingia studio tena na Majeed pamoja na Joeboy.

Baada ya muda mrefu kufanya vizuri na ngoma yake iitwayo Hosanna akiwa ameshirikiana na msanii Chike Masterkraft ameendelea kuwa na uchaguzi bora wa nani amshirikishe kwenye kazi zake.

Kwa mara nyingine Masterkraft ameachia ngoma yake mpya iitwayo FRUIT akiwa amewashirikisha Majeed na Joeboy.

Inapatikana katika mitandao yake yote ya kusambaza na kusikiliza muziki pamoja na unaweza kuwafatilia katika mitandao yao yote ya kijamii.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...