Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Mcha Hassan Mcha na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli leo tarehe 2 Desemba, 2023 wameongoza mbio na matembezi ya furaha pamoja michezo mbalimbali mkoani humo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya shukrani kwa Mlipakodi ambayo imeandaliwa na ofisi ya TRA Mkoa wa Kigoma.














Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...