Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Ndugu Kiula Kingu pamoja na timu ya usambazaji maji wamepita mtaa kwa mtaa kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya maji kwenye maeneo ya Ilala na Kariakoo. Huduma inazidi kutengemaa katika maeneo ya katikati ya Jiji, Ilala hadi Kariakoo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...