Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi kulia akikunjuwa Kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu Wilaya ya Mjini .Ikiwa ni katika Shamra shamra za Miaka 60 ya mapinduzi ya Zanzibar.

Muonekano wa Jengo la Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu iliofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Husein Ali Mwinyi Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali MwinyI akikata Utepe kuashiria Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu Wilaya ya Mjini .Ikiwa ni katika Shamra shamra za Miaka 60 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi  akiwa na Mkewe Mama Mariamu Mwinyi wakimsikiliza Mwanafunzi Bibiye Abdul-rahman Amour wakati akitembelea Darasa la Compyuter Room na kusalimiana na Wanafunzi katika hafla ya Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu Wilaya ya Mjini .Ikiwa ni  Shamra shamra za Miaka 60 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Lela Mohamed Mussa akitoa hotuba ya Makaribisho kwa Mgeni Rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu Wilaya ya Mjini .Ikiwa ni  Shamra shamra za Miaka 60 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi pamojana Viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Darasa la Nne kutoka Skuli ya Jendele Abdukarim mohamed Nahadha na Khamisuu Juma Mohamed baada ya kusoma Utenzi Mzuri katika hafla ya Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu Wilaya ya Mjini .Ikiwa ni  Shamra shamra za Miaka 60 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi akitoa hotuba katika hafla ya Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu Wilaya ya Mjini .Ikiwa ni  Shamra shamra za Miaka 60 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi katikati akiwa pamojana Viongozi wengine katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa waliofanya sanaa ya ngoma na utenzi katika hafla ya Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Mwembeladu Wilaya ya Mjini .Ikiwa ni  Shamra shamra za Miaka 60 ya mapinduzi ya Zanzibar.

PICHANA YUSSUF SIMAI /MAELEZO ZANZIBAR.09/01/2024.J

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...