Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi Jumatatu, Februari 26, 2024, alimtembelea kumjulia hali Mwenyekiti wa Umoja wa Mamlaka ya Viongozi wa Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, Mhe. Murshid Ngeze, katika Hospitali ya CCBRT, jijini Dar Es Salaam, ambako Diwani huyo wa Kata ya Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Bukoba, mkoani Kagera, amelazwa kwa ajili ya matibabu.
.jpeg)


.jpeg)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...