Bw. Karanja Ndegwa, Mkurugenzi Mtendaji wa Jambojet (kushoto), Mheshimiwa Dkt. Khalid Salum Mohamed, Waziri wa Miundombinu, Mawasiliano, na Usafirishaji, Zanzibar (katikati), wanaungana mikono kutangaza rasmi kuanzishwa kwa safari za moja kwa moja kati ya Zanzibar na Mombasa, zitakazoanza mwezi Julai huku Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar (ZAA), Seif Abdallah Juma (kulia), akishuhudia."
Kutoka kushoto kwenda kulia: Farouq Karim (Mkuu wa Ofisi ya IPP Media, Zanzibar), Cynthia Otoro (Mkuu wa Masoko na Mauzo, JamboJet), Karanja Ndegwa (Mkurugenzi Mtendaji, JamboJet), Mheshimiwa Dkt. Khalid Salum Mohamed (Waziri wa Miundombinu, Mawasiliano, na Usafirishaji, Zanzibar), Seif Abdallah Juma (Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar - ZAA), Prudence Glorious (Mkurugenzi Mtendaji, PZG PR) na (, Philip Ndirangu (Meneja wa Mikakati na Uenezi, Jambojet) katika picha ya pamoja baada ya mkutano na kuwasilisha mipango ya JamboJet ya kuanzisha rasmi safari za ndege moja kwa moja Zanzibar hadi Mombasa ifikapo Julai, 2024 kwa Mheshimiwa Waziri mwenye dhamana ya miundombinu. Mkutano huu ulifanyika katika Baraza La Wawakilishi, Zanzibar.”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...