*Wananchi watafanyiwa uchunguzi wa Saratani Bure
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Saratani Ocean Road katika kuadhimisha siku ya Saratani Duniani ambayo huadhimishwa Februari 4 pamoja huduma ya uchunguzi wa saratani kwa wananchi wote kwenye viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ni Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye atazungumza kuhusiana na hali halisi ya saratani nchini na hatua zilizochukuliwa na serikali katika utoaji wa huduma.
Kwenye maadhimisho hayo uchuguzi utaofanyika utaofanyika uchunguzi wa wa awali saratani ya mlango wa kizazi ,Saratani ya Matiti pamoja na Saratani ya Tezi dume.
Katika maadhimisho elimu itatolewa ya magonjwa yasiyakuambukizwa na kutaka wananchi kushiriki maadhimisho na kupata uchunguzi bure.


Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Saratani Ocean Road katika kuadhimisha siku ya Saratani Duniani ambayo huadhimishwa Februari 4 pamoja huduma ya uchunguzi wa saratani kwa wananchi wote kwenye viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ni Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye atazungumza kuhusiana na hali halisi ya saratani nchini na hatua zilizochukuliwa na serikali katika utoaji wa huduma.
Kwenye maadhimisho hayo uchuguzi utaofanyika utaofanyika uchunguzi wa wa awali saratani ya mlango wa kizazi ,Saratani ya Matiti pamoja na Saratani ya Tezi dume.
Katika maadhimisho elimu itatolewa ya magonjwa yasiyakuambukizwa na kutaka wananchi kushiriki maadhimisho na kupata uchunguzi bure.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...