Katibu wa NEC , Idara ya Organaizesheni Ndugu. Issa Haji Ussi (Gavu) tayari amewasili katika Ukumbi wa Mkuki House na kupokelewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu. Mary Chatanda (MCC).
Ndugu. Gavu amefika na kuungana na UWT katika Kongamano la Kumshukuru na Kumpongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyoifanya ya utekeleza wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 - 2025 kwa kipindi cha miaka 3 akiwa madarakani kuanzia 2021 - 2024.
Katika ushiriki wake, Ndugu. Gavu ndiye Mgeni rasmi akimwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Balozi. Emmanuel Nchimbi.







Ndugu. Gavu amefika na kuungana na UWT katika Kongamano la Kumshukuru na Kumpongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyoifanya ya utekeleza wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 - 2025 kwa kipindi cha miaka 3 akiwa madarakani kuanzia 2021 - 2024.
Katika ushiriki wake, Ndugu. Gavu ndiye Mgeni rasmi akimwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Balozi. Emmanuel Nchimbi.







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...