
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri akizungumza na watumishi wa Wizara ya Maji, katika kikao kilichofanyika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Mhandisi Mwajuma ametumia kikao hicho kuwataka watumishi kujitoa kwa upendo katika kazi na kutumia weledi ili kufanikisha huduma ya maji kwa jamii.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...