Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga pamoja Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Khamis wamemtembelea na kumfariji Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni kufuatia kifo cha Baba yake Mzee Masauni aliyefariki dunia tarehe 23 Februari, 2024 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.

Wamemtembelea Machi 3, 2024 nyumbani kwake Migombani Mkoa wa Mjini Unguja Zanzibar.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...