RAIS Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 pamoja na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka 2022/2023, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgaOXkhTh7v5agAFrpCKkKUrLMQA9R-E4hDF-tz8BkI4ojwogrM6ItcCUl0sNkXSi6_c2apZ5VbEEv06fEUPAxA_A2K0eqSG9QflHr1x9t_Og0xpKX40Fwo_pwTDqF7YntgEpZY-IXSaOKft-5Wld7rqHs1UwTLLp2lLwsMT3x1Zn5x7kuMmeqeYw/w640-h412/1B%20copy.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiowtrhPHlhTVYZcdBR1cJ5RHqNwlLl1jaLtbzj0gyFIPQUliTi85AHNne-aPR-z1GP4EzB_UkdoKajd_J4iI6Ca3C7Es6vx2jI3ojQNMRlyQeXm0yIOCKjuxGaQ-qzaFqtiejgFpXrYLyddgVST8Mv0CPsdYBY2tsXDRA6hOzujNOJiXpjRKtzgw/w640-h416/2%20copy.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka 2022/2023 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo CP. Salum Hamduni Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...