

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL) Bakari Machumu wakati wa hafla ya The Citizen Rising Woman katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.
2024.
2024.
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...