NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KLABU ya Simba imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani mara baada ya kukubali kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Al Ahly.
Katika mchezo huo wa mkondo wa kwanza Al Ahly walifanikiwa kupata bao la Mapema kupitia kwa Ahmed Kouka dakika ya 4 ya mchezo kipindi cha kwanza.
Timu hizo zitarudiana Aprili 5, 2024 ambapo Al Ahly kwenye mchezo huo atakuwa nyumbani mjini Cairo![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOqjUBXJ3_g26b5UT4I6zYDjmEpaVW0UseteRg3riPPXzYVE5myqkm4XJvboL5WDHWvp2avLMwIqZmdJfIJ08hgTWGunfBxQ5OYx7F4zmFb2_6uzBuK_N3srBzkFYnJ42AMCZUOTb7fBYDHNppsRnYJ0eZh3oAeqoTr5tCs7zA9qJ-Z6KNtBjL4n9qgCY/s16000/WhatsApp%20Image%202024-03-29%20at%2022.58.08.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1u3AR_O5XA6c1qw8Ixs91Fj9bQdeXkr9d-CL6raDZyMASt7QeGyvOZ4JklYBPkWe-aVBd9Cp2MGgVog4MoYJ1Za1c_ZfyyI1UpNKAA78Ns6YdwolCz1psvkcU6KUV4GMbW_9THA-h5j7tf1hzJ7C0DG70DAxLH-Iqwo57pRuUe8dNFBl4B9hyjkJcVQw/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-29%20at%2022.57.42.jpeg)
KLABU ya Simba imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani mara baada ya kukubali kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Al Ahly.
Katika mchezo huo wa mkondo wa kwanza Al Ahly walifanikiwa kupata bao la Mapema kupitia kwa Ahmed Kouka dakika ya 4 ya mchezo kipindi cha kwanza.
Timu hizo zitarudiana Aprili 5, 2024 ambapo Al Ahly kwenye mchezo huo atakuwa nyumbani mjini Cairo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOqjUBXJ3_g26b5UT4I6zYDjmEpaVW0UseteRg3riPPXzYVE5myqkm4XJvboL5WDHWvp2avLMwIqZmdJfIJ08hgTWGunfBxQ5OYx7F4zmFb2_6uzBuK_N3srBzkFYnJ42AMCZUOTb7fBYDHNppsRnYJ0eZh3oAeqoTr5tCs7zA9qJ-Z6KNtBjL4n9qgCY/s16000/WhatsApp%20Image%202024-03-29%20at%2022.58.08.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1u3AR_O5XA6c1qw8Ixs91Fj9bQdeXkr9d-CL6raDZyMASt7QeGyvOZ4JklYBPkWe-aVBd9Cp2MGgVog4MoYJ1Za1c_ZfyyI1UpNKAA78Ns6YdwolCz1psvkcU6KUV4GMbW_9THA-h5j7tf1hzJ7C0DG70DAxLH-Iqwo57pRuUe8dNFBl4B9hyjkJcVQw/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-29%20at%2022.57.42.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...