Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTARADE) kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Viwanda na Biashara Imeratibu Semina ya Wafanyabiashara kuhusu fursa ya kuuza bidhaa katika soko la Uingereza kupitia Mpango wa Biashara wa Uingereza na Nchi zinazoendelea (UK-DCTS)

Semina hii ya inayofanyika katika ukumbi wa JNICC ulipo Jijin Dar es salaam. Inalenga kuwakutanisha wafanyabiashara wa Tanzania na nchini Uingereza ili kujenga uwezo wa taratibu na vigezo na hivyo kuwafungulia fursa za Masoko zinazopatikana nchini Uingereza.

Wakimwakilisha Mkurugenzi Mkuu TANTRADE Bi. Latifa M. Khamis, Meneja Uhusiano kwa Umma na Masoko Lucy Mbogoro pamoja na Afisa Biashara (Masoko ya Ndani na Nje ya Nchi) Bw. Deo Shayo wameshiriki Semina hii ambayo imefunguliwa rasmi na Mhe. Waziri wa Viwanda na Biashara Dr. Ashatu Kijaji.
 

Bi. Petronela Mlowe afisa ukaguzi na Mazingira anayefanya kazi uingereza na pia mtaalam elekezi wa Ukaguzi bidhaa
akitoa mada kuhusu namna bidhaa za vyakula vinavyoingizwa Uingereza vinakaguliwa.
Aidha, Bi. Mlowe ametoa hamasa kwa wafanyabiashara wa Tanzania kuuza uingereza na kukuza uchumi
6h





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...