RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Hamad Masauni, alipofika nyumbani kwa Mhe.Rais Migombani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa ajili ya kuhani na kutowa mkono wa pole, kwa kufiwa na Baba yake Mzazi Rais Mstaafu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi , aliyefariki wiki ilipopita na kuzika katika Kijiji cha Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja wiki uliyopita.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Hamad Masauni alipofika nyumbani kwake Migombani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa ajili ya kuhani na kutoa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi, maziko yaliyofanyika wiki iliyopita katika Kijiji cha Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...