Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, akikagua banda la Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara Nyamanzi Mkoa wa Mjini Magharibi leo Aprili 14, 2024.
Uzinduzi huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja na Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi.
Home
HABARI
RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA MAKAMU WA RAIS KWENYE UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...