Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki dua ya kumuombea Hayati Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar. Dua hiyo pia ilihudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.

Viongozi wengine walioshiriki ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi-Bara Abdulrahman Kinana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Emmanuel Nchimbi

đź“ŤKisiwandui-Zanzibar
đź—“️ Aprili 07, 2024






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...