| Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo. |
![]() |
| Wanafunzi wa Shule mbalimbali wakiingia kwa maandamano katika Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai katika Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Baadhi ya wanafunzi wakitumbuiza kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Baadhi ya wanafunzi wakitoa burudani kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai katika Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai katika Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Msafara wa maandamano ya wanafunzi kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai kwa maandamano kuelekea Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
![]() |
| Msafara wa maandamano kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |
| Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai kwa maandamano kuelekea Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita. |




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...