.jpeg)
Mjumbe kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Singida Ndg Ahmed Misanga ambae pia ni mratibu wa shughuli za wazazi ikungi ametoa Vifaa Vya ujenzi wa nyumba ya Mtumishi wa Jumuiya hiyo

"Nimetoa vifaa hivii ikiwa ni muendelezo wa Michango yangu katika ujenzi wa nyumba ya Mtumishi wa wazazi wilayani ikungi leo nimeleta
Seruji , nondo , pesa ya ufundi kwa ajili ya kufunga lentha katika jengo hili" Misanga
" Pia tutaendelea kutoa michango yetu ili jengo hili liweze kukamilika kwa wakati na mtumishi aweze kuingia ndani,"
" Na tunamipogo wa kununua fenicha za ndani ili mtumishi akijaa aje na mabegi tu ili asipate tabu siku ya kuhama kama atakuwa amepata uhamisho wa kwenda mkoa mwingine,".

" Kwani hili zoezi la kujenga nymba za watumishi ni agizo la kutoka makao makuu na sisi tumeadha kulitekeleza kwa vitondo na kwa sasa tupo hatua ya Kufunga Lentha paka ifikapo mwezi wakumi kila kitu kitakuwa kimekamilika na mtumishi ataingia ndani," Amesema
Huku mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ikungi Ndugu .NASSORO ISSAH Amesema chama kinawajubu wa kusimamia jumya zake ili ziweze kutimiza malengo yake.
"Hizi nyumba zitasaidia sana watumishi wetu wanaokuja huku wilayani kwani akifika tu anasehemu ya kulala, namini atafnyakazi zake kwa utulivu na kwa umakini kwasababu anasehemu ya uhakuka ya kuishi,".
" Sasa mtumishi wa wilaya ya ikungi akae tayari kuhamia baadaa ya lentha tunakwenda kupaua na kumalizia nyumba hiyo, " Ameongeza
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...