Matukio mbalimbali katika picha, yakimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akiwa ndani na nje ya Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kabla, wakati na baada ya kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali iliyosomwa na Waziri wa Fedha, Ndugu Mwingulu Lameck Nchemba, leo Alhamis, Juni 13, 2024.

Balozi Nchimbi alimbatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, Ndugu Ally Hapi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Ndugu Suzan Kunambi na Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Ndugu Jokate Urban Mwegelo.









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...