Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu na Balozi wa Umoja wa Ulaya, Christine Grau (kulia) wakizungumza juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ushirikiano katika masuala ya kudhibiti uhalifu.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Balozi wa Umoja wa Ulaya,anaewakilisha umoja huo hapa nchini, Christine Grau (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ushirikiano katika masuala ya kudhibiti uhalifu.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...