RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Kiongozi wa Ujumbe wa Wataalamu kutoka Nchini Brazil wa Mradi wa kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto Bi. Camila Guedes Ariza, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-6-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wataalamu kutoka Nchini Brazil Wanaojishughulisha na Mradi wa kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto, ulioambatana na Mwakilishi wa Heshima wa Brazil Zanzibar Mhe. Abdulsamad Abdulrahim (kulia kwa Rais) na Kiongozi wa Ujumbe huo Bi.Camila Guedes Ariza, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-6-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wataalamu Maalumu kutoka Nchini Brazil Wanaojishughulisha na Mradi wa kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto (kulia kwa Rais) ukiongozwa na Bi.Camila Guedes Ariza na (kushoto kwa Rais) Uongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar ukiongozwa na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-6-2024.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...