Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisilikiza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Nchini Mhandisi Mohamed Besta kuhusu maendeleo ya ujenzi wa barabara sehemu ya Malagarasi – Uvinza (Kilometa 51) wakati akiwa ziarani mkoani Kigoma tarehe 08 Julai 2024.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitoa maelekezo kwa Viongozi pamoja na Watendaji mbalimbali wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa barabara sehemu ya Malagarasi – Uvinza akiwa ziarani mkoani Kigoma tarehe 08 Julai 2024.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitoa maelekezo kwa Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Nchini Mhandisi Mohamed Besta mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara sehemu ya Malagarasi – Uvinza akiwa ziarani mkoani Kigoma tarehe 08 Julai 2024.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...