Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Elijah Mwandumbya akizungumza na watumishi wa PSPTB alipotembelea Banda la Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Elijah Mwandumbya akipata maelezo kutoka kwa Afisa Elimu Mwandamizi kutoka PSPTB George Ngelime kuhusu kazi zinazofanywa na PSPTB alipotembelea Banda la Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Elijah Mwandumbya akisaini kitabu alipotembelea Banda la Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...