Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura Agosti 20,2024 amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego wakati alipomtembelea ofisini kwake na kujadiliana masuala mbalimbali kuhusiana na hali ya usalama mkoani humo.

IGP Camillus Wambura yupo mkoani Singida kwa ziara ya kikazi kwa ajili ya kuzungumza na maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali. Picha na Jeshi la Polisi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...