Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora, Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi. Mazungumzo hayo yalifanyika Ijumaa, Desemba 20, 2024, wakati Balozi Nchimbi alipofika kumsalimia Kardinali Rugambwa, ofisini kwake, Uaskofuni, mjini Tabora,
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora, Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi. Mazungumzo hayo yalifanyika Ijumaa, Desemba 20, 2024, wakati Balozi Nchimbi alipofika kumsalimia Kardinali Rugambwa, ofisini kwake, Uaskofuni, mjini Tabora,
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...