IKIWA ni katika kuelekea mwisho wa mwaka na kuukaribisha mwaka mpya wa 2025 Mkuu wa Mkoa Simiyu Kenani Kihongosi amewaongoza viongozi na wananchi kumwombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan.

Mbali na kumuombea Rais, maelfu hayo ya watu pia yametumia fursa hiyo kuliombea taifa kuvuka salama mwaka 2024 na kuingia 2025 likiwa wamoja, wenye amani na mshikamano.


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...