Kaimu Kamishna Msaidizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ldara ya Kodi za ndani, kitengo cha walipakodi wa kati  Godwin Barongo pamoja na Watumishi wa kitengo hicho wamewatembelea baadhi ya Wafanyabiashara wa kitengo hicho wa GF Truck Ltd waliopo Tazara jijini Dar es Salaam Desemba 20, 2024.Kwaajili ya  kuwashukuru kwa kuendelea kulipa kodi zao kwa hiari na kwa wakati pamoja na kusikiliza changamoto wanazokumbana nazo katika ufanyaji wa biashara Kwa lengo la kuzitatua pamoja na kuwakumbusha walipe zao awamu ya nne bila kuchelewa.


Kaimu Kamishna Msaidizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ldara ya Kodi za ndani, kitengo cha walipakodi wa kati  Godwin  Barongo pamoja na Watumishi wa kitengo hicho wamewatembelea baadhi ya Wafanyabiashara wa Kitengo hicho waliopo  Lindi Express Ltd, Upanga  kwaajili ya  kuwashukuru kwa kuendelea kulipa kodi zao kwa hiari na kwa wakati pamoja na kusikiliza changamoto wanazokumbana nazo katika ufanyaji wa biashara Kwa lengo la kuzitatua pamoja na kuwakumbusha Kulipa zao awamu ya nne bila kuchelewa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...