Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (Kulia), akimkabidhi zawadi ya baadhi ya bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya hapa nchini, Balozi wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Mhe. Michael Battle, ambapo pamoja na mambo mengine, Dkt. Nchemba alimshukuru kwa ushirikiano mzuri katika kipindi chote cha uongozi wake kwa kufanya kazi kwa karibu na Serikali kupitia miradi ya maendeleo na kumuomba aendelee kuwa balozi mzuri wa Tanzania hata baada ya hutimisha utumishi wake nchini.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (Kulia), akiagana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Mhe. Michael Battle, baada ya kikao chao jijini Dodoma, ambapo pamoja na mambo mengine, Dkt. Nchemba alimshukuru kwa ushirikiano mzuri katika kipindi chote cha uongozi wake kwa kufanya kazi kwa karibu na Serikali kupitia miradi ya maendeleo na kumuomba aendelee kuwa balozi mzuri wa Tanzania hata baada ya hutimisha utumishi wake nchini.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...