Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kumchagua Makamu Mwenyekiti Mteule wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira wakati wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 18 Januari, 2025.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...