Na Nasra Ismail
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeshiriki Maonesho ya 11 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Chamalangwa-Pemba Visiwani Zanzibar yaliyoanza tarehe 7/1/2025-15-1-2025 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Waziri wa Utalii na Malikale wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Mudrik Soraga.
Katika Maonesho hayo, Mgeni Rasmi alilitunuku Shirika la Madini la Taifa Cheti cha Ushiriki na Udhamini wa Maonesho hayo ikiwa ni is ishara ya kusamini mchango wa Shirika katika kuwezesha kufanyika kwa maonesho aidhaa STAMICO imeshiriki kwa ukubwa wake kupitia Mradi wa nishati safi na salama ya kupikia ya Rafiki Briquettes.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...