BAADA ya kushuhudia wiki ya moto iliyopita, hatimaye leo hii wikendi itafunguliwa na mechi kali zenye pesa. Je unajua nani ataupatia utajiri siku ya leo?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa.

Tukianza na ligi kuu ya Ujerumani leo BUNDESLIGA, Borussia Monchengladbach baada ya kushinda mechi yao iliyopita, watakuwa nyumbani dhidi ya FSV Mainz ambao nao pia walishinda mechi yao iliyopita. Tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee huku nafasi ya kushinda pale Meridianbet akipewa yoyote kwa ODDS 2.70 kwa 2.70. Jisajili hapa.

SERIE A pia ni kwa moto leo hii ambapo Cagliari Calcio ambao wapo nafasi ya 15 watakipiga dhidi ya Genoa ambao ni wa 12 huku mara ya mwisho kukutana walitoka sare ya kufungana. Kila timu inahitaji ushindi leo hii ijiweke kwenye nafasi nzuri huku wakali wa ubashiri wakimpa nafasi kubwa ya kushinda mwenyeji kwa ODDS 2.50 kwa 3.20. Beti yako unaiweka wapi?. Suka jamvi hapa.

Ijumaa ya kuibuka mshindi hii hapa, bashiri sasa na Meridianbet mechi zote. Pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Keno na mingine kibao.

Vilevile kule Ufaransa LIGUE 1 itaendelea hapo baadae AS Monaco atasafiri kukipiga dhidi ya Toulouse ambao mechi yao iliyopita wakishinda, halikadhalika kwa mwenyeji wao naye alishinda. Mwenyeji anashikilia nafasi ya 8 na mgeni wake nafasi ya 4. Bashiri mechi hii yenye ODDS 3.25 kwa 2.25.

Kule Uingereza CHAMPIONSHIP pia itaendelea kwa mchezo mkali kwelikweli, Norwich City atamualikwa kwake Oxford United ambao walipoteza mechi yao iliyopita, huku kwa mwenyeji yeye alitoa sare mechi yake iliyopita. Kila timu inahitaji ushindi siku ya leo huku nafasi ya ushindi akipewa mwenyeji kwa ODDS 1.57 kwa 6.40. Tengeneza jamvi hapa.

Pia ligi kuu ya SAUDIA leo kuna michezo ya maana kabisa, Al Ahli baada ya kushinda mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Al Khaleej ambao wapo nafasi ya 11. Tofauti ya pointi kati yao ni 18. Nani kukupatia ushindi leo?. 1.30 kwa 8.40. Jisajili hapa.

Huku kwa upande wa Al Hilal ambaye ni bingwa mtetezi baada ya kupoteza mechi yake iliyopita atakuwa na kibarua cha kushinda dhidi ya Al Feiha ambao wapo nafasi ya 14 wakiwa na pointi zao 22. ODDS za mechi hii ni 7.60 kwa 1.37. Suka jamvi hapa.

Huku Al Nassr wao watakuwa nyumbani kupepetana dhidi ya Al Shabab FC huku tofauti ya pointi kati yao ni 8. Mara ya mwisho kukutana timu hizi kina Ronaldo na wenzake waliondoka na ushindi. Je wataendeleza moto wao na leo?. Mechi hii imepewa 1.82 kwa 3.75. Bashiri hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...