Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Halima Mdee imeanza ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya afya na elimu katika Mkoa wa Iringa ambapo itatembelea Halmashauri ya Manspaa ya Iringa Mjini, Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo na Halmashauri ya Wilaya Mufindi.








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...