Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
ameshiriki Ibada ya Jumatano ya Majivu katika
Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro Osterbay Jijini Dar es Salaam
leo tarehe 05 Machi 2025. Ibada ya Jumatano ya Majivu ni mwanzo wa kipindi cha
Kwaresma ambacho hutumika na waumini wa dini ya Kikristo kwaajili ya mfungo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...