Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki Ibada ya Jumatano ya Majivu katika  Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro Osterbay Jijini Dar es Salaam leo tarehe 05 Machi 2025. Ibada ya Jumatano ya Majivu ni mwanzo wa kipindi cha Kwaresma ambacho hutumika na waumini wa dini ya Kikristo kwaajili ya mfungo.




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...