Usikose fursa hii ya kipekee! Hospitali hii maarufu kutoka Uturuki inaleta mtaalamu hapa jijini Dar es Salaam kwa ushauri wa afya ya figo na masuala ya upandikizaji figo!
Njoo upate uchunguzi wa afya ya figo zako, uulize maswali, na ujifunze zaidi kutoka kwa wataalamu wa kimataifa.
Okoa muda na pesa – njoo uzungumze na mtaalamu wa figo moja kwa moja! Watakuwepo tarehe 2-3 mwezi Mei, hapa DOCTORS PLAZA MOROCCO
Kwa mawasiliano tupigie simu kwa namba: 0710 344 341 au 0683 074 130
Njoo upate uchunguzi wa afya ya figo zako, uulize maswali, na ujifunze zaidi kutoka kwa wataalamu wa kimataifa.
Okoa muda na pesa – njoo uzungumze na mtaalamu wa figo moja kwa moja! Watakuwepo tarehe 2-3 mwezi Mei, hapa DOCTORS PLAZA MOROCCO
Kwa mawasiliano tupigie simu kwa namba: 0710 344 341 au 0683 074 130
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...