MERIDIANBET  kampuni inayoongoza katika michezo ya kubashiri nchini Tanzania, inayo furaha kutangaza uzinduzi wa promosheni mpya ya kusisimua inayowapa wateja wake nafasi ya kushinda simu mpya kabisa ya Samsung A25! Katika promosheni hii, wateja wana nafasi ya kujishindia moja kati ya simu 16 mpya kabisa za Samsung A25.
 
Jinsi ya Kushiriki:
Jisajili au ingia kwenye akaunti yako ya Meridianbet.
Weka amana na ucheze kiasi cha TSh 5,000 au zaidi kila wiki kwenye ligi yoyote ya mpira wa miguu.
Kila wiki unayocheza, unapata nafasi ya kushinda moja ya simu mpya ya Samsung A25.
 
Faida za Kushiriki:
Zawadi Kubwa: Simu mpya ya Samsung A25 kwa washindi 16.
Urahisi wa Kushiriki: Cheza kwenye ligi yoyote ya mpira wa miguu.
 
Fursa ya Kila Wiki: Kila wiki ni nafasi mpya ya kushinda.

Usikose nafasi hii ya kipekee ya kuboresha maisha yako na burudani ya michezo ya kubashiri. Jiunge na Meridianbet leo na uanze safari yako ya ushindi!


MERIDIANBET – CHEZA ZAIDI, SHINDA ZAIDI!
NB: JIUNGE NA MERIDIANBET SASA NA UJIPATIE BONASI BAAB KUBWA KATIKA MICHEZO YA KASINO NA SOKA. JISAJILI SASA.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...