KIKAO CHA WAFANYABIASHARA WA USAFIRISHAJI WA MIZIGO MAALUM NA WAMILIKI WA MAKAMPUNI
Je, wewe ni mfanyabiashara au mmiliki wa kampuni unayetuma mizigo kati ya Falme za Kiarabu (Dubai) na Tanzania?
Je, umekuwa ukihangaika kupata njia bora, ya uhakika, na nafuu ya kutuma mizigo yako kutoka Dubai kwenda Tanzania?
Je, umekuwa ukipitia changamoto za Mizigo yako ya Biashara kuachwa, Mizigo Kuchelewa na changamoto za MCO?
SASA TUMEKUFIKIA NA TUNA HABARI NJEMA JUU YAKO!!!
TAREHE 22/06/2025 SIKU YA JUMAPILI MNAKARIBISHWA KWENYE KIKAO CHA WAFANYABIASHARA CHA UFUNGUZI WA HUDUMA MPYA YA NDEGE YA MIZIGO. KWENYE KIKAO HIKO MTAWEZA KUJUA HUDUMA MBALI MBALI ZINAZOTOLEWA ZIKIWEMO , RATIBA YA NDEGE, AINA YA MIZIGO NA BEI KWA KILO
KARIBUNI SANA KWENYE KIKAO HICHO AMBACHO KITATOA FURSA KWA WAFANYABIASHARA NA VILEVILE KUJENGA UHUSIANO
KITAKACHOFANYIKA:
SIKU YA JUMAPILI
TAREHE 22/06/2025
UKUMBI: LANDMARK HOTEL, BANIYAS DEIRA
MUDA: KUANZIA SAA 8 MCHANA
👉 Usikose fursa hii adhimu kuleta mapinduzi halisi kwenye biashara yako!
🔔 Endelea kufuatilia kurasa zetu kwa taarifa zaidi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...