Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida apokelewa Kwa kishindo na Vijana wa CCM Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi leo Ijumaa 13 Juni, 2025.

Mwenyekiti anaendelea na Ziara yake ya Siku tatu za Kibabe inayohitimishwa leo katika Mkoa wa Katavi baada ya kutembelea wilaya za Mlele, Tanganyika na leo Mpanda.

Ziara yake imelenga kukagua uhai wa chama na Jumuiya, Utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi 2020-2025 sambamba na maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...